Thursday, August 20, 2015

Anonymous

JE, WAJUA?! Wasichana Wengi TZ Wana Watoto Bila Kuwa na Baba wa Mtoto!

Kumekuwepo na wimbi kubwa kwa hawa dada zetu, kuwa na watoto bila mume.Ukimuuliza anakwambia tumeachana na hawakotayari kuweka wazi sana.

Sasa mimi nashindwa kuelewa tatizo ni sisi wanaume, au ni hawa dada zetu?

Na je mwanaume inakuweje mpaka unafikia hatua ya kumwachia watoto mzazi mwenzio?

Na wewe dada inakuweje uone unaweza muishi na watoto bila mume hata kama hela ya kuwalea unayo?

Yaani jaribuni kuchunguza katika wasichana kumi hapa Bongo, wenye umri 25-35 saba wana watoto na ukiuliza kuhusu baba wa mtoto, au watoto utapewa ngonjera tu!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.