Wednesday, August 12, 2015

Anonymous

10 PICHAZ: Kutana na DJ wa kike na mtoto wa bilionea wa Nigeria, DJ Cuppy anayetua Dar wiki hii

DJ wa kike wa Nigeria na mtoto wa bilionea wa nchini humo, Femi Otedola, aitwaye DJ Cuppy anatua Dar es Salaam wiki hii. Mrembo huyo ambaye anakuja Dar akitokea Nairobi, Kenya yupo kwenye ziara ya kuzunguka nchi takriban nane za Afrika.
1389916_400581543467939_1645294340_n
Cuppy atatumbuiza Dar, Jumamosi hii.
Mfahamu zaidi Cuppy na baba yake bilionea, Otedola.
dj-cuppy-vandrusville-resident-dj-2014-mtv-africa-music-awards-mama
Femi Otedola ni CEO wa kampuni ya mafuta ya Forte Oil Plc mwenye utajiri wa dola bilioni 1.2. Otedola ana watoto watatu wa kike akiwemo Florence Otedola maarufu kama DJ Cuppy ambaye hufanya kazi ya UDJ jijini London Uingereza.
cupp2 DJ Cuppy akiwa kazini
Mwaka huu, DJ Cuppy ndiye aliyekuwa DJ rasmi kwenye tuzo za MTV MAMA jijini London. Yaani yeye ndiye alikuwa akipiga muziki wakati wa tuzo hizo. Damn!
dj-cuppy-vandrusville-ours-magazine-stereotype-music-industry
Chini ni baadhi ya picha za DJ Cuppy akiwa na baba yake.
DJ-Cuppys-Graduation-House-of-Cuppy-Launch-August-2014-BellaNaija.com-01004-400x600
DJ-Cuppy-Femi-Otedola-June-2014-BellaNaija.com-05-600x452
DJ-Cuppy-Femi-Otedola-June-2014-BellaNaija.com-06-600x399
DJ-Cuppy-Femi-Otedola-June-2014-BellaNaija.com-07-600x417
DJ-Cuppy-Femi-Otedola-June-2014-BellaNaija.com-08-431x600

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.