Meneja wa Manchester United Louis van Gaal
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema watamuuza mlinda mlango wao Victor Valdes kwa kuwa hafuati filosofia yake.
Van Gaal anasema Victor Valdes alikataa kucheza katika kikosi cha akiba.
Hafuati filosofia yangu. Hakuna nafasi ya mtu kama huyo.
Na kuhusu kumuuza De Gea, Van Gaal anasema, siwezi kusema kitu, yuko vizuri, ni upuuzi kuuliza.
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema watamuuza mlinda mlango wao Victor Valdes kwa kuwa hafuati filosofia yake.
Van Gaal anasema Victor Valdes alikataa kucheza katika kikosi cha akiba.
Hafuati filosofia yangu. Hakuna nafasi ya mtu kama huyo.
Na kuhusu kumuuza De Gea, Van Gaal anasema, siwezi kusema kitu, yuko vizuri, ni upuuzi kuuliza.


Note: Only a member of this blog may post a comment.