Upande wa Pili huko kwa Kina Shilole na Nuhu Mzwanda Mambo si Shwari
Jana Usiku wakati wengine tuko busy na Tuzo za MTV ..Mwanana Shilole
Alipost Ujumbe Huu Ukiashiria yeye na Nuhu Mziwanda Mapenzi Basi
Tena.....
Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi
Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi


Note: Only a member of this blog may post a comment.