MAJINA:- Mzee Ndejembi, Kingunge Ngombale Mwiru, Mwenyekiti Msukuma (Geita) Mwenyekiti Bwarafia Silima (Unguja) Mwenyekiti Jesca Msambatavangu (Iringa) Mwenyekiti Madabida Madabida (Dar es Salaam), Mwenyekiti Hamisi Mgeja (Shinyanga), Mwenyekiti Msindai (Singida), Mwenyekiti Odo (Ruvuma), Mwenyekiti Sinani (Mtwara), Mwenyekiti Sanya (Mara), Mwenyekiti Mlao (Pwani), Mwenyekiti Kabouru (Kigoma) na Wenyeviti 3 (Pemba na Unguja). Wabunge 84 walikuwepo.
Mzee Ndejembi Mwenyekiti wa CCM wa zamani wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa CCM wa Wenyeviti wote wa Mikoa Tanzania.
Mzee Ndejembi Mwenyekiti wa CCM wa zamani wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa CCM wa Wenyeviti wote wa Mikoa Tanzania.


Note: Only a member of this blog may post a comment.