Thursday, July 23, 2015

Anonymous

Majibizano ya SHILOLE na Nuh Miziwanda @Instagram ilikuwa ni ujio wa ‘Ganda la Ndizi’?!!..(Audio)

ganda
Yale mabishano kati ya Shilole na Nuh Mziwanda kwenye mtandao wa kijamii wa @Instagram kumbe ilikua kwa ajili ya wimbo wao mpya?.
Mabishano kati yao yalitafsiri na wengi kama wamegombana, lakini kumbe walikua wakijiandaa kuachia ngoma yao mpya inayoitwa ‘Ganda la Ndizi’.
Ngoma hiyo imesimamiwa na mtayarishaji Mr.T Touch.
Wasikilize hapa mtu wangu…

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.