Thursday, July 23, 2015

Anonymous

KUMEKUCHA! Camera za Mapaparazzi zilivyonasa gari za msafara wa Obama zikikatisha mitaa ya Nairobi.. (Pichaz)

beast-ri_653
July 23 2015 zimebaki saa chache kabla ya kushuhudia Rais Obama akitua Kenya, mambo yanazidi kunoga… yani unaambiwa kila unapokatisha mitaa ya Nairobi lazima utagundua vitu tofauti tofauti hivi vinavyoashiria kuwa kuna ugeni very soon !!
Kila mahali ambapo Obama anaenda huwa ana usafiri wa ndege yake ya Air Force One, na hata gari yake pia ambayo inaitwa  ‘Cadillac One, Limo One au The Beast

Ndege ya Rais Obama, Air Force One.
Zimenifikia hizi pichaz zikionesha gari za msafara wa Obama ikiwemo Limo One aka Cardillac One zikikatisha mitaa ya Nairobi.
Beast1
beast2 (1)
beast2
beast3
DSC09939
pobsrpi4izyzwzg455af822915970

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.