Wednesday, July 15, 2015

Anonymous

JAMBAZI BAADA YA KUTOROKA JELA ALA BATA NA ''KUJISIFIA NIKAMATENI KAMA MNAWEZA'' -PICHAZ


El Chapo muuza madawa nguli baada ya kutoroka jela Jumamosi asema FBI nikamateni kama mnaweza. Akiwa uraiani anabarizi na helikopta.

Akiwa na familia yake ankunywa bia hana habari.

Shimo alilotumia kutoroka na kutembea kwenye bomba mwendo wa kilomita moja na nusu.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.