Monday, July 13, 2015

Anonymous

HABARI PICHAZ: SOKO LATEKETEA KWA MOTO SHINYANGA!

Soko la Wakulima la Majengo, Kahama lilivyoteketea kwa moto.
Wafanyabiashara wa soko hilo wakitoa baadhi ya bidhaa zilizosalia baada ya tukio hilo.
Wafanyabiashara wa soko hilo katika harakati za kutoa masalia ya bidhaa zao.
Uokoaji wa bidhaa ukiendelea.
SOKO la Wakulima lililoko Mtaa wa Majengo, wilayani Kahama mkoani Shinyanga limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo majira ya saa nane. Chanzo cha moto huo kinadhaniwa kuwa ni shoti ya umeme iliyotokea kwenye jengo hilo, hivyo kusababisha jengo lote kushika moto na kuungua hadi kuteketea.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo ni kwamba hakuna mtu aliyefariki wala kujeruhiwa kutokana na moto huo..

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.