Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Saturday, July 11, 2015
Anonymous
HABARI PICHAZ: Baada Ya Vurugu za Wanafunzi na Wananchi Jana Hatimaye Ujenzi Wa Tuta Wafanyika Bunju Dar!
Hatimaye ile barabara ya Bagamoyo katika lile eneo la Bunju 'A' ambapo Wanafunzi wa shule ya msingi Bunju 'A' waliifunga jana baada ya mwenzao kugongwa gari na kufariki, imewekwa matuta na ujenzi unaendelea kama unavyoona kwenye picha!
Note: Only a member of this blog may post a comment.