Saturday, July 11, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: CCM YATANGAZA WAGOMBEA WATANO WA URAIS

EDWARD LOWASSA: Mgombea mwenye ushawishi mkubwa kwa watanzania na safari yake ya matumaini lakini bahati mbaya safari yake ndio imefikia tamati usiku huu!
Kikao cha KAMATI KUU (CC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 5 ambao ni: 
1) Bernard Membe 
2) John Magufuli 
3) Asha Rose Migiro 
4) January Makamba 
5) Amina S. Ali. 

Hatua inayofuata ni majina ya wagombea hawa kukabidhiwa kwa HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) ili kupata majina matatu (3) yatakayopigiwa kura kwenye Mkutano Mkuu asubuhi. Je, una maoni gani kuhusu tano bora hii?! Na je, ungependa tatu bora waingie kina nani kati hawa?! Toa maoni yako hapo chini tafadhali
ENDELEA KUFUATILIA HAPA MDAU HATUA KWA HATUA MPAKA KIELEWEKE!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.