Sunday, June 21, 2015

Anonymous

TAIFA STARS AIBU TUPU!

Maskin timu yetu ya Taifa wenyewe tunaipenda lakini mpira unatutosa hivhivi yan! Juzi tu mashabiki wamewafata mazoezini nakuwazomea na kuwapiga mawe kwa ajili ya wiki iliyopita ilipigwa 3-0 na Misri. Sasa Usiku wa jana mechi imeisha imepigwa tena na Uganda the cranes bao 3-0. dah lkn tutafanyaje sasa ndio timu yetu tuendelee kuonyesha uzalendo wa kuipenda tuuuu maana ndio cha kwetu.
Japo inauma si eti jaman sijui tatzo nini maskini!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.