New York, Marekani STAA wa
michezo ya nusu utupu, Angela Renée White ‘Blac Chyna’ amefanyiwa
upasuaji wa sura na kufanana na mwanamitindo, Kylie Jenner.
“Mwanzoni Kylie alikuwa akitaka afanane kama Blac Chyna lakini
imekuwa kinyume kwani Blac alilisikia hilo na kuanza kufanya yeye
upasuaji ili afanane na Kylie,” kilisema chanzo

Note: Only a member of this blog may post a comment.