Kuna vitu vimeendelea mitandaoni kwa
muda mrefu, labda wakati mwingine mitandao ya kijamii huwa haina taarifa
za ukweli kuhusu ukweli wa ishu zenyewe.
Staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliwahi kuingia kwenye headlines baada ya kuweka post ambazo watu walihisi kwamba jamaa hakuwa na furaha na ushindi wa Diamond Platnumz kupata Tuzo tatu South Africa na pia Idris kuibuka na Ushindi wa BBAHotshots mwaka 2014.
Davido kaweka post hii hapa chini kwenye ukurasa wake @Instagram, ameweka bendera ya Tanzania alafu hajaandika chochote zaidi ya kuweka alama ya love !!

Note: Only a member of this blog may post a comment.