Michoro ya mwilini aka
tattoo ni urembo mwingine kwa watu wengi hasa vijana… Mama mmoja
Australia ana mtoto mchanga lakini hatoweza kumnyonyesha mtoto wake
kutokana na agizo la Mahakama !!
Vipimo vya Hospitali havijaonesha kama mama huyo ana tatizo lolote, ila ishu ni tattoo ambayo alijichora, Mahakama ilipokea malalamiko kutoka wa mume wa mwanamke huyo kuhusu tattoo aliyojichora kwenye kidole na mguuni.. wakamzuia asimnyonyeshe tena mtoto huyo kutokana na kanuni zilizowekwa na Australian Breastfeeding Association.
Vipimo vya Hospitali havijaonesha kama mama huyo ana tatizo lolote, ila ishu ni tattoo ambayo alijichora, Mahakama ilipokea malalamiko kutoka wa mume wa mwanamke huyo kuhusu tattoo aliyojichora kwenye kidole na mguuni.. wakamzuia asimnyonyeshe tena mtoto huyo kutokana na kanuni zilizowekwa na Australian Breastfeeding Association.
Bado kuna mvutano kwenye ishu ya uamuzi huo, CEO wa Australian Breastfeeding Association, Rebecca Naylor yeye anapingana na uamuzi huo wa Mahakama.

Note: Only a member of this blog may post a comment.