Maofisa wa serikali katika mji huo wanasema kuwa, walibaini
mkusanyiko kati ya watu watano walioonekana kupanga jambo lisilo la
kawaida.
Watu waliokuwa katika mgahawa huo walijificha katika chumba cha majokofu katika harakati za kujiokoa kabla ya kusaidiwa na Polisi kutoka katika eneo hilo.
PICHA NA DAILY MAIL NEWS
Watu waliokuwa katika mgahawa huo walijificha katika chumba cha majokofu katika harakati za kujiokoa kabla ya kusaidiwa na Polisi kutoka katika eneo hilo.
PICHA NA DAILY MAIL NEWS
Note: Only a member of this blog may post a comment.