Na Musa Mateja
MREMBO
mchakarikaji Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, juzikati aliamua kuvunja
ukimya na kusema kuwa mwanamuziki Ali Kiba kwa sasa ndiye kila kitu
katika mambo yake mengi ya kimaisha.
“Yaani watu wangu wajue Kiba ni kila kitu kwangu ila siyo ishu ya mapenzi, tuna projekti kibao, nawaomba watu wavute subi--ra watajionea kila kinachoendelea kati yetu.Kuanzia sasa Kiba atakuwa akipeperusha ‘brand’ za Kidoti kwa kila atakachofanya ikiwa ni pamoja na mavazi,” alisema Jokate.

Note: Only a member of this blog may post a comment.