Monday, April 13, 2015

Anonymous

VIDEO: Tazama alichokifanya Rais Obama alipokutana Usain Bolt

Rais wa Marekani, Barack Obama wiki iliyopita alitembelea nchini ya Jamaica na alikutana na mtu mwenye kasi na nguvu duniani, Usain Bolt.
Obama alifurahisha watu pale alipopiga picha kupozi kama Usain Bolt kwa mtindo wake wa ‘lightning pose’ Obama amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kutembelea kisiwa hicho tangu 1982.
-via bongo5

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.