Monday, April 13, 2015

Anonymous

LAZIMA UKAE: MIPANGO YA LADY JAY DEE MWAKA HUU NI HATARI TUPU...

Lady Jaydee amedai kuwa mpaka mwaka 2015 unaisha atakuwa amejenga nyumba tano.
10600440_10152397580155025_3089616640975218274_n
Akizungumza kwenye kipindi cha Diary ya Lady Jaydee cha EATV wakati alipotembelea baadhi ya viwanja vyake, muimbaji huyo alisema wake ni kuhakikisha ndani ya mwaka huu anakamilisha ujenzi wa nyumba tano.
“Kiwanja cha kwanza kilishamalizwa kufyekwa sasa tunahamia kiwanja cha pili kwa sababu malengo ni kumaliza nyumba tano mpaka itakapofikia mwisho wa mwaka 2015, kwahiyo kazi ndo imeanza,” alisema.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.