Chelsea imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Brazil mwenye umri wa miaka 19 Nathan kutoka kwenye klabu ya Atletico Madrid kwa kitita cha euro milioni 4.7.
Taarifa hii imethibitishwa na mchezaji mwenyewe kupitia kwenye ukurasa wake twitter akisema” ninafuraha sana kusaini mkataba wangu kwenye kikosi cha Chelsea na ninawashukuru wote walionitunza.”
Taarifa hii imethibitishwa na mchezaji mwenyewe kupitia kwenye ukurasa wake twitter akisema” ninafuraha sana kusaini mkataba wangu kwenye kikosi cha Chelsea na ninawashukuru wote walionitunza.”

Note: Only a member of this blog may post a comment.