Sunday, April 26, 2015

Anonymous

SAMAHANI KWA PICHAZ HIZI: TAZAMA MADHARA YA VURUGU ZA KISIASA ZILIZOIBUKA LEO NCHINI BURUNDI!

Leo Rais wa Burundi Pierre Peter Nkurunzinza amekataa kuachia madaraka rasmi kuelekea uchaguzi mkuu na kudai kuendelea na awamu nyingine ya tatu ambayo ni kinyume na katiba ya nchi hyo
Hali hyo imepelekea machafuko ya ghafla na mauaji ya kutisha. Na kusababisha watu kujifungia manyumbani na barabara kuu kufungwa!
Tazama picha za baadhi baadhi ya madhara ambayo tumetumiwa na mwakilishi wa KandiliYetu.com toka Burundi!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.