Thursday, April 30, 2015

Anonymous

PICHAZ: UNENE WAMTESA EX WA JUSTINE BIEBER, SELENA GOMEZ


Staa wa muziki wa Pop, Selena Gomez.
NEW YORK, MAREKANI
WAZUNGU bwana! Staa wa muzikiwa Pop, Selena Gomez ameendelea kuteswa na unene ulioongezeka kwa muda mfupi huku mitandao ya kijamii ikimshambulia. Staa huyo aliyekuwa mpenzi wa staa mwenzake wa muziki, Justin Bieber kupitia ukurasa wake wa Instagram, mashabiki wake wengi wameonekana kukerwa na unene huo jambo linalomnyima usingizi staa huyo.

Kabla hajaongezeka unene.
“Selena anachukizwa na watu wanaoongelea unene wake na hilo linamuweka katika wakati mgumu wa kumsikia kila mtu akimuongelea, anaumia sana,” alisema shabiki mmoja wa staa huyo.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.