Monday, April 6, 2015

Anonymous

Pale wivu wa mapenzi unaposababisha ugomvi club …#HEKAHEKA

Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya kwenda club na mke wake lakini wamekuwa wakigombana mara kwa mara kutokana na wivu pale kila mmoja anapomuona mwenzake akicheza na mtu mwingine. 

Simu moja mwanamke akaenda club akiwa na marafiki zake baada ya mume wake kumwambia yuko mbali, ghafla alishangaa kutumiwa massage na mtu asiyemjua na kuanza kumtongoza, alipotoka nje akamkuta mume wake akiwa na kijana mmoja alipofatilia akagundua mume wake alikuwa anamtuma jamaa huyo kama kumtega mke wake kuona kama atamkubali jambo lililozua ugomvi mkubwa.
Kama ulipitwa na Hekaheka bonyeza play hapa chini kuisikiliza…

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.