Thursday, April 16, 2015

Anonymous

NOMA SANA! Shetta akiri ndoa yake ipo juu ya mawe!

Shetta amekiri kuwa ndoa yake ipo kwenye matatizo hali ambayo inaweza kuvunjika hatua stahili zisipochukuliwa.
11117078_1577299535864006_661316616_n
Shetta ameiambia Bongo5 kuwa anaumizwa sana mambo yanayoendelea kuzungumzwa bila ukweli wowote hasa kuhusu uhusiano wake na Rose Ndauka.
“Rose Ndauka ni mshkaji wangu, nilikwenda naye Morogoro kwenye msiba na kukaa naye pamoja na kulala naye hoteli moja ndo limekuwa tatizo,” amesema rapper huyo. 

“Watu wanaoanisha sana na haya mambo wakati sio kitu cha ukweli. Inasabisha mambo mengi kutokea kwa upande wangu. Kwa upande wa mke wangu mambo siyo mazuri kidogo siyo sana, mambo siyo mazuri, vitu vinavyoendelea kuzungumza ndo vinaongeza vitu vingine,” alisema Shetta.
-bongo5

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.