Kila wiki millardayo.com itakua inakuletea pichaz za zamani za mastaa mtu wangu ambapo kwa leo, hii picha ya kwanza hapa chini ni ya mwigizaji Kajala akiwa shule ya sekondari Jitegemee Dar es salaam time hizo.
Kajala wa sasa
Mtangazaji wa CloudsFM Adam Mchomvu na rapper Chidi Benz
Adam Mchomvu kwenye muonekano wa sasa.
Ay kwenye muonekano wa zamani na wa sasa.
Ay wa sasa.
Mtangazaji Salama Jabir wa EATV na Ay time hizo
Salama wa sasa.
Madame Rita Paulsen mwaka 2008.
Madame wa sasa.
Diamond, Ali Kiba na Berry Black time hizo.
Ni kitambo lakini sio sana hapa ni wakati mwimbaji wa bongofleva Meninah alivyoshiriki kwenye shindano la Bongo star search
Meninah wa sasa.

Note: Only a member of this blog may post a comment.