Tuesday, April 28, 2015

Anonymous

JOKATE KIDOTI: Kuna mtu namtamani sana...!

Mwanamitindo, mbunifu na Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006, Jokate Mwegelo aka ‘Kidoti’ amesema kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi.
10838362_428098344007546_1990936077_n
Akizungumza na The playlist ya Times Fm hivi karibuni, Kidoti alisema hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye wimbo wake uitwao ‘Leo leo’ aliyomshirikisha Ice Prince wa Nigeria.
“Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yani, ila akizingua tu nambwaga bado namuangalia” alisema Jojo
Hata hivyo Jokate hakuwa tayari kumtaja mtu huyo anayemtamani.
Source:Times Fm

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.