Sunday, April 12, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: AJALI MBAYA...BASI LA NGANGA LAGONGANA NA FUSO NA KUTEKETEA KWA MOTO!

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba basi la Nganga linalofanya safari zake kati ya Iringa-Kilombero limepata ajali mbaya baada ya kugongana na Fuso uso kwa uso na hatimaye magari hayo kushika moto na kuteketea katika maeneo ya Ruaha Mbuyuni kilomita kadhaa kutoka mjini Iringa.
Habari zaidi zinasema kuwa watu kadhaa waliokuwemo katika basi hilo wamepoteza maisha akiwemo pia dereva wa Fuso ajali hiyo imetokea majira ya asubuhi ya leo..R.I.P

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.