Monday, April 13, 2015

Anonymous

AJALI TENA: GARI LA WAOMBELEZAJI LAGONGANA USO KWA USO NA SEMI-TRELA, WALIKUA WANATOKA MSIBANI!

Kuna ajali nyingine imetokea jana maeneo ya Ngilori na Tabu hotel katika wilaya ya Gairo kati ya fuso iliyokuwa imepakia watu waliotoka msibani na gari kubwa aina ya Semi-Trela uso kwa uso.
Idadi kamili ya watu waliopoteza maisha na majeruhi bado haijafahamika!
Endelea kufuatilia zaidi hapa!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.