Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, March 30, 2015
Anonymous
VIDEO: Hemed PHD Afunguka Kuhusu Kutumia Poda za Kike, Ndoa yake Kubuma na Kwanini Anapendwa Sana na Wadada
Udaku TV imefanya mahojiano ya kina na msanii wa Filamu Nchini, Hemed PHD ambaye pamoja na mambo mengine ameeleza sababu za kutumia poda na lipshine za kike, Ndoa yake kubuma na kwa nini mademu wanapenda kumshobokera. Msikilize hapo chini Akifunguka.
Note: Only a member of this blog may post a comment.