Marehemu Kapteni Komba enzi za Uhai wake.
NA.
|
MUDA
|
TUKIO
|
MHUSIKA
|
1.
|
12:00 - 01:00
|
Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
2.
|
01:00 - 04:00
|
Misa ya kuaga mwili wa Marehemu
|
Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
|
3.
|
04:00 - 04:30
|
· Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee
· Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
|
Katibu wa Bunge
|
4.
|
04:33
|
Kiongozi wa Upinzani Bungeni kuwasili
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
5.
|
04:36
|
Mhe. Naibu Spika kuwasili
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
6.
|
04:39
|
Mhe. Spika kuwasili
|
Mhe. Naibu Spika
|
7.
|
04:42
|
Mhe. Waziri Mkuu kuwasili
|
Mhe. Spika
|
8.
|
04:50
|
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili
|
Mhe. Spika
|
9.
|
05:00
|
Mhe. Rais kuwasili
|
Mhe. Spika
|
10.
|
05:00
|
Mwili wa Marehemu kuwasili kwa gwaride maalum la Sergeant-At-Arms
|
Katibu wa Bunge
|
11.
|
05:00 - 05:15
|
Sala fupi
|
Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
|
12.
|
05:15 - 05:20
|
Wasifu wa Marehemu
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
13.
|
05:20 - 05:30
|
Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM)
|
Katibu Mkuu, CCM
|
14.
|
05:30 - 05:35
|
Salamu na Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni
|
Kiongozi wa Upinzani Bungeni
|
15.
|
05:35 - 05:45
|
Salamu na Rambirambi za Serikali
|
Waziri Mkuu
|
16.
|
05:45 - 05:55
|
Salamu na Rambirambi za Uongozi wa Bunge
|
Mhe. Spika
|
17.
|
05:55 - 06:00
|
Neno la Shukrani toka kwa familia
|
Mwakilishi wa Familia
|
18.
|
06:00 - 06:15
|
Utaratibu wa safari
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
19.
|
06:15 - 07:15
|
Kuaga Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki
|
MC
|
20.
|
07:15
|
Mwili wa Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege
|
MC
|
21.
|
07:20 - 07:25
|
Viongozi wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki
|
MC
|
22.
|
07:40
|
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
23.
|
08:00
|
Mwili, Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
24.
|
10:00
|
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa
|
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
|
25.
|
10:00 - 10:15
|
Mwili wa Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji
|
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
|
26.
|
10:15 - 11:00
|
Mkuu wa Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu
|
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
|
27.
|
11:00 - 01:00
|
Mwili wa Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa
|
· Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
· Kaimu Katibu wa Bunge
|
28.
|
01:00
|
Mwili kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea
|
MC
|


Note: Only a member of this blog may post a comment.