Tuesday, March 24, 2015

Anonymous

Mvua kubwa kunyesha, Rais Kikwete alishauri Jeshi la Polisi, Wabunge walia na wezi #PB @CloudsFM

Miongoni mwa zile zilizopewa Headlines kwenye Magazeti ya leo March 24, iko ya TMA imesema mvua kubwa inatarajiwa kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini na kutoa tahadhari kwa wakazi wa mabondeni, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amekabidhi vifaa mbalimbali katika idara ya wanyamapori kwa ajili ya kudhiti ujangili nchini, Rais Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi kuwa makini hususani katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu na Wabunge wameitaka Serikali kuweka vipengele vya adhabu kwa banki na kampuni za simu zitakazobainika kuwaibia wateja wao.
Bonyeza play hapa chini kusikiliza uchambuzi wa story zote…  -via millardayo

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.