Mrembo na mwigizaji wa filamu wa hapa Bongo anayefanyia kazi zake
nchini Ujerumani, Ashuu Ally “Ashley Toto amekanusha kuwa na mahusiano ya
kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kufuatia taarifa za
udaku zilizoenea hivi karibuni kwenye mazagezi ya udaku na blogu
mbalimbali kuwa wawili hawo wapo kwenye mahusiano ya siri.
Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa Instagram Ashley Toto alibandika picha ya moja ya blogu (hapo juu) iliyoandika stori hiyo na kuandika maneno haya.
“Waandishi wa magazeti hamuna kazi za kufanya??? au ndio hizo za kuota na kuandika vitu vya …ushuzi ...... I have nothing to do with diamond ..........I have ma boyfriend so plz ...”
Nadhani ameeleweka.
Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa Instagram Ashley Toto alibandika picha ya moja ya blogu (hapo juu) iliyoandika stori hiyo na kuandika maneno haya.
Nadhani ameeleweka.




Note: Only a member of this blog may post a comment.