Kwenye Magazeti kuna hizi leo; Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua kuhusu kuvuliwa ubunge kwa Zitto Kabwe, Mlinzi wa Dr. Slaa amesema hahusiki na njama zozote za kumuua Dk.Wilbroad Slaa, Jaji Mkuu Tz Mohamed Chande amevitaka vyombo vya dola kujipanga kushughulikia kesi za mauaji ya albino.
Jeshi la Polisi limewakamata wapiga ramli 225 Tz, Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi ajali ya basi na lori iliyoua watu 42 Iringa, hukumu ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi Prof. Anna Tibaijuka kuhusu mgawo wa fedha za ESCROW inatarajiwa kutolewa kesho na kuna story kutoka Kenya inayohusu wanawake kuishi kwa mashaka kutokana na nyani wanaovamia mashamba yao kutaka kuwabaka.
Bonyeza play hapa chini kusikiliza story zote…
-via millardayo

Note: Only a member of this blog may post a comment.