Tuesday, February 24, 2015

Anonymous

SOMA KAULI YA MH. ZITTO KABWE KUHUSU TIMU ZA SOKA TANZANIA!

Kama mauzo yetu nje ni ‪#‎VPL‬,Azam ni Utalii,Yanga ni Viwanda,Mtibwa ni Dhahabu na Simba ni Kilimo (tena Pamba kwa namna inavyoporomoka)
Utalii umepanda kutoka $1.6bn mwaka 2012 mpaka $2bn mwaka 2014
Viwanda vimepanda kutoka $1.1bn mpaka $1.4bn
Dhahabu imeshuka kutoka $2.5bn mpaka $1.2bn
Pamba imeshuka kutoka $157m mpaka $54m
Wewe unashabikia timu gani hapa Bongo na Nje ya bongo?
NINI PAUL MAKONDA? HATA WEWE UNAWEZA KUWA MKUU WA WILAYA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.