Sunday, February 15, 2015

Anonymous

SAD NEWS: MASKINI KIJANA HUYU AJINYONGA BAADA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KUTOKA!

Kijana mmoja ajulikanaye kwa jina John Maduhu wa Kijiji cha Pandagichiza, Wilaya ya Shinyanga vijijini kaamua kujinyonga baada ya matokeo ya kidato cha nne yaliyotoka jana kumjia vibaya, akiongea na mwandishi, kaka wa marehemu alisema kuwa baada ya matokeo kutoka, John alitoweka nyumbani na baadaye kukutwa akiwa amejinyonga!
Taarifa zaidi, endelea kufuatilia hapa!
Maneno ya Papa Francis kwa wanandoa wasio na watoto! 
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.