Wananchi wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Marehemu
Mez B baada ya kuagwa na mashabiki wa mziki pamoja na ndugu jamaa na
marafiki mwili wake ulielekea kupumzishwa katika makaburi ya Wahanga
Maili mbili jana.
Mama mzazi wa Mez B, Marry
Mkandawile (katikati) akiwa ameshikiliwa na ndugu baada ya kuingia
viwanja vya Mashujaa ili kutoa heshima za mwisho.
Baadhi ya wasanii waliohudhuria msiba wa Mez B wakiwa kwenye majonzi mazito
Mtangazi wa Citizen TV anayejulikana kwa jina la Mzazi Willy Tuva akifanya mahojiano na msanii wa Bongo Fleva Janjaro.
MASKINI AMANDA WA BONGO MUVI! AZIDIWA, ASHINDWA KUMZIKA MEZ B
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
ASANTE NA KARIBU
TENA!
(PICHA: DJ CHOKA)


Note: Only a member of this blog may post a comment.