Mwendesha bodaboda
akiendelea kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa na wananchi wenye
hasira katika eneo la Mlimani City jijini Dar es Salaam, juzi jioni
ambapo alidaiwa kumpora mkoba dada mmoja na kujaribu kukimbia.
Wananchi wenye hasira katika eneo la Mlimani City jijini Dar es
Salaam, juzi jioni walimchoma moto mwendesha bodaboda aliyekuwa
amempakiza mwenzake ambao wanadaiwa kumpora mkoba dada mmoja na kujaribu
kukimbia. Wawili hao wakiwa kwenye harakati kukimbia wananchi hao waliwazingira ambapo aliyepakizwa aliruka na kufanikiwa kukimbia lakini aliyekuwa akiendesha alidhibitiwa na kupewa kipondo kikali na kuchomwa moto na bodaboda yake.
MAKALIO YA "BLAC CHYNA" MAMA WA MTOTO WA RAPA TYGA NI FEKI!
===>>JIONEE HAPA!
===>>JIONEE HAPA!
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
(PICHA/HABARI: RICHARD BUKOS/GPL)

Note: Only a member of this blog may post a comment.