MAKALIO YA "BLAC CHYNA" MAMA WA MTOTO WA RAPA TYGA NI FEKI, JIONEE HAPA!
Mapaparazi wamkuwa wakiwafuatilia mastaa wa kike wenye makalio makubwa ili kujua kana no feki au yakuzaliwa nayo.Watu maarufu Kim Kardashian, Nicki Minaj, Amber Rosa na Blac Chyna.
Hivi karibuni picha zimesambaa za mama mtoto wa rapa Tyga kuwa umbo lake kwa nyuma [Makalio] ni feki, Blac Chyna ambaye zamani alikuwa stripper alisadikiwa kuwa alifanya upasuaji ili kuongeza makalio.
Blac Chyna alikanusha tuhuma hizi nakusema makalio yake ni zawadi kutoka kwa Mungu.
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Filed Under:
CELEBRITIES
on Wednesday, February 11, 2015
Note: Only a member of this blog may post a comment.