Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’.
Laurent Samatta/Uwazi
MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’, amefunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa muda wowote kuanzia sasa.
Akizungumza na Uwazi, Penina alisema kuwa harakati za kuolewa zipo
jikoni hivyo anamuomba Mungu kile ambacho kinatarajia kufanyika kiweze
kwenda kama alivyopanga ingawa hakutaka kumweka wazi mwanaume huyo kwa
madai kuwa hataki kuibiwa.
“Mambo ya ndoa yapo tayari na anayesubiriwa ni mwanaume ambaye
anataka kunioa ili alete barua ya uchumba, kwa sasa yuko nje kwa ajili
ya mambo yake binafsi lakini atakapotua tu Bongo, muda wowote ndoa
itafungwa,” alisema.
NOMA SANA: MCHEPUKO WA AUNT EZEKIEL ASHIKWA NA KIGUGUMIZI KUHUSU MUME WA AUNT
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.