Mrembo wa Kenya, Huddah Monroe ameamua kuwakata vilimilimi wale
waliokuwa wakimkebehi kuwa mkoko aina ya Range Rover anaotumia huenda
sio wa kwake, kwa kuweka kithibitisho cha kadi ya gari hiyo ambayo
imesajiliwa kwa jina lake halisi Sonie Alhuda Njoroge.
Mwaka jana mwishoni baada ya kushare picha za gari yake mpya, kuna baadhi ya blogs za Kenya zilizodai kuwa gari hiyo si yake.
Katika post hiyo ambayo ameifuta aliweka kadi hiyo na kuandika:
“I don’t like to prove anything to bastards but , I don’t rent or
borrow cars! I hustle too hard to be living on a budget! Somebody tell
these bloggers to go and get the final search at KRA , Bitches!
#CozYouAreBrokeDontMeanEveryoneIs #PutSomeKYjellyOnYourLives”
Mwaka jana mwishoni baada ya kushare picha za gari yake mpya, kuna baadhi ya blogs za Kenya zilizodai kuwa gari hiyo si yake.
Katika post hiyo ambayo ameifuta aliweka kadi hiyo na kuandika:
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!
-bongo5


Note: Only a member of this blog may post a comment.