Thursday, February 19, 2015

Anonymous

MDADA MTUKUTU Huddah Monroe aweka mtandaoni kadi ya gari kuthibitisha kuwa ndiye mmiliki wa ile Range Rover!

Mrembo wa Kenya, Huddah Monroe ameamua kuwakata vilimilimi wale waliokuwa wakimkebehi kuwa mkoko aina ya Range Rover anaotumia huenda sio wa kwake, kwa kuweka kithibitisho cha kadi ya gari hiyo ambayo imesajiliwa kwa jina lake halisi Sonie Alhuda Njoroge. 
Mwaka jana mwishoni baada ya kushare picha za gari yake mpya, kuna baadhi ya blogs za Kenya zilizodai kuwa gari hiyo si yake.
Katika post hiyo ambayo ameifuta aliweka kadi hiyo na kuandika:
“I don’t like to prove anything to bastards but , I don’t rent or borrow cars! I hustle too hard to be living on a budget! Somebody tell these bloggers to go and get the final search at KRA , Bitches! #CozYouAreBrokeDontMeanEveryoneIs #PutSomeKYjellyOnYourLives”

huddah M


huddah M2
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA!
-bongo5

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.