Inawezekana Navio amepata mtoto wa Kitanga aliyemwekea hiriki kwenye
maji ya kuoga na huduma zingine adimu ndio maana hataki kuondoka Bongo.
Rapper huyo ambaye yupo nchini kwa takriban wiki ya pili sasa alikuwa akihojiwa kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV asubuhi hii ambapo mtangazaji alidai kuwa amesikia tetesi kuwa rapper huyo wa Uganda amepata msichana Tanzania ndio maana ameweka kambi.
Pasipo kukubali au kukataa, Navio alikiri kuwa anawapenda wanawake wa Tanzania kwakuwa wanajua kuwalea vyema wapenzi wao.
“Tanzanian women know how to treat their men,” alisema Navio.
Katika hatua nyingine Navio amepost picha akiwa studio na Mr Blue kuashiria kuwa kuna ngoma ya pamoja inakuja.
“Breaking bread with Mr Blue @mrbluebyser1988. I can’t imagine what’s about to happen. #History #Turnt,” ameandika.
Rapper huyo ambaye yupo nchini kwa takriban wiki ya pili sasa alikuwa akihojiwa kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV asubuhi hii ambapo mtangazaji alidai kuwa amesikia tetesi kuwa rapper huyo wa Uganda amepata msichana Tanzania ndio maana ameweka kambi.
“Tanzanian women know how to treat their men,” alisema Navio.
Katika hatua nyingine Navio amepost picha akiwa studio na Mr Blue kuashiria kuwa kuna ngoma ya pamoja inakuja.
“Breaking bread with Mr Blue @mrbluebyser1988. I can’t imagine what’s about to happen. #History #Turnt,” ameandika.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!



Note: Only a member of this blog may post a comment.