MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA
Mshambuliaji
wa zamani wa FC Barcelona na timu ya Taifa ya Uholanzi Patrick Kluivert
alizungumzia ujio wa magwiji FC Barcelona nchini mwezi wa tatu mbele ya
waandishi wa habari kwenye mgahawa wa Sports Lounge uliopo jijini Dar
Es Salaam ,Pembeni ya Kluivert ni mwenyekiti wa DRFA Ndugu Almas
Kasongo. Magwiji hao wa Barcelona wanataraji kucheza na wachezaji nyota
wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa mnamo mwezi wa machi tarehe 28.
Mwenyekiti
wa chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam,Almasi Kasongo akizungumza
kwenye mkutano huo katikati na mwakilishi wa FC Barcelona pamoja na
Mwakilishi wa kampuni ya Prime Time Promotions Stuart Kambona ambao ni
waratibu wa mchezo huo.
Baadhi ya Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo mapema leo asubuhi.
MWIGULU NCHEMBA HATARI SANA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
on Monday, February 9, 2015
Note: Only a member of this blog may post a comment.