Baraza hilo lilikwama kumhoji Chenge
kutokana na Mbunge huyo kukata rufaa Mahakama Kuu kupinga kuhojiwa
ambapo mwenyekiti wa Baraza hilo amesema wanasubiri mwongozo wa Mahakama
Kuu kuhusu kumhoji Mbunge huyo.
Ikafika zamu ya Mbunge Anna Tibaijuka, katika kuhojiwa kuhusu ishu ya mgao wa fedha za Escrow aliulizwa kuhusu matumizi ya fedha alizopata.
Katika maelezo yake kuna fedha milioni
kumi ambazo alisema kwamba ilikuwa ni hela ya mboga kitu ambacho
kiliwachekesha watu waliokuwa ndani ya kikao hicho.
Bonyeza play hapa chini kusikilza!
Bonyeza play hapa chini kusikilza!
7 PICHAZ: WATU WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI YA GARI MWANZA!
===>>SHUHUDIA HAPA! JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
===>>SHUHUDIA HAPA! JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.