Tuesday, February 10, 2015

Anonymous

KOLETHA WA BONGO MUVI AFANYIWA KITU MBAYA NA WAHUNI KWENYE GARI!

Stori : Deogratius Mongela /Uwazi 
MUIGIZAJI wa filamu Bongo, Koletha Raymond ‘Coletha’ amejikuta akiwa hana kitu baada ya kukombwa shilingi milioni moja na nusu, nguo zake zaidi ya ishirini na vifaa vya kuchukulia video wakati wakiwa lokesheni maeneo ya Mtoni Kijichi, jijini Dar.
Coletha Raymond ‘Koleta’.
Akizungumza na Uwazi, Coletha alisema aliitwa lokesheni kucheza filamu ya Mkono wa Kushoto ambapo alikuwa tayari ameshapewa pesa ya utangulizi shilingi milioni moja na nusu. 

“Niliziweka pesa kwenye begi langu la nguo. Tulifika eneo ambalo gari yetu haikuweza kupita kutokana na kuwekwa magogo njiani. Kwakuwa tulihakikishiwa usalama ikabidi tuache gari na vitu vyetu kwa muda na kusogea eneo la mbele kidogo. Kitendo cha kumaliza na kurudi tukakuta milango ya gari ipo wazi na vitu vyetu vyote havipo,” alisema Coletha.
FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA! 
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!  

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.