Stori: Na Mwandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
STAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu amemfanyia ‘sapraizi’ msanii mkongwe, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ kwa kumnunulia simu ya kisasa na kumfanya awe kama kijana.
Wema alimfanyia sapraizi hiyo hivi karibuni kwa kummpeleka Bi.Mwenda
katika maduka ya Mlimani City pasipo kumwambia wanakwenda kufanya nini
na alipofika, akamnunulia simu hiyo yenye uwezo wa ‘internet’.
STAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu amemfanyia ‘sapraizi’ msanii mkongwe, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ kwa kumnunulia simu ya kisasa na kumfanya awe kama kijana.

Staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu.
Msanii mkongwe, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’.
“Namshukuru sana Wema maana sikujua tunakwenda kufanya nini Mlimani
City, nikashangaa ananikabidhi simu, nimefurahi na mimi kuwa kama vijana
wa kisasa, kuingia WhatsApp na Instagram,” alisema Bi. Mwenda.
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.