MTANGAZAJI maarufu wa Runinga, Maimartha Jesse hivi karibuni aliamua kumtolea uvivu, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ kwa kumpa kitchen party ya nguvu.
Akichonga na Centre Spread, Mai alisema kuwa anachoumia ni kwamba kila mtu mjini hapa anamsema Lulu vibaya wakati yeye alikuwa ni rafiki yake wa karibu.
Aidha, Mai alisema anamsema Lulu kama mdogo wake na mtu aliyemfanya akapata jina mjini hapa kuwa aache tabia ya kulalala gesti na kuwa karibu na wanaume wasio riziki.
MASKINI AFANDE SELE: DADA 'AKE AFARIKI GUEST AKIWA MTUPU!
===>>SHUKA NAYO HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
===>>SHUKA NAYO HAPA!
ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.