Tuesday, February 10, 2015

Anonymous

FASHENI HIZI JAMANI! SAUDA MWILIMA AANIKA UTAMU WA NIDO ZAKE HADHARANI!

Mtangazaji wa kituo kimoja cha runinga nchini, Sauda Mwilima akipozi kwenye 'Red Carpet'.
Na  Shani Ramadhani/Uwazi 
MTANGAZAJI wa kituo kimoja cha runinga nchini, Sauda Mwilima ‘Mwarabu wa Kigoma’ juzikati alionekana akiwa ameachia nido zake ukumbini.

Tukio hilo lilitokea katika Ukumbi wa Escape One, jijini Dar ambapo Sauda alikuwa ameambatana na mumewe, Kauli Juma huku sehemu ya kifua chake ikiacha nido zake wazi kutokana na nguo aliyokuwa ameivaa. 

“Jamani hivi siku hizi imekuwa ni fasheni watu kuanika vifua vyao? Mnamuona Sauda na nguo aliyovaa, inaonekana ni ndogo sana hasa pale kifuani kwa sababu nido zote nje, pale akiinama tu zinachomoka mweeeh!,” aliongea mmoja wa watu waliokuwepo ukumbini hapo.
MAJONZI TELE: MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI!===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!  

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.