Stori: Imelda Mtema/Amani
MZAZI mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema kuwa hakuna staa yeyote hapa Bongo mwenye figa kama yake ya kuweza kuvaa ‘bikini’ na kujiachia kama yeye.
Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao hayana mvuto hasa wakivaa bikini huku akitolea mfano wa Nancy Sumari na Jacqueline Patrick.
“Ukitaka kujua kama una umbo zuri tena la kimataifa wewe jaribu kuvaa
bikini uone, ndiyo utajijua ni mrembo kiasi gani. Najitambua navutia
kiasi gani nikivaa bikini,” alisema Faiza.
MZAZI mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema kuwa hakuna staa yeyote hapa Bongo mwenye figa kama yake ya kuweza kuvaa ‘bikini’ na kujiachia kama yeye.
Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao hayana mvuto hasa wakivaa bikini huku akitolea mfano wa Nancy Sumari na Jacqueline Patrick.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA


Note: Only a member of this blog may post a comment.