Moshi mkubwa ukiwa umetanda katika paa la jengo hilo lililopo katika mtaa wa Jamhuri jijini Dar.
Dar es Salaam, Tanzania.
Moto mkubwa umezuka hivi punde katika nyumba iliyopo Mtaa wa Jamhuri na
Mosque jijini Dar es Salaam na kuteketeza mali mbalimbali.
Taarifa
za awali zinaeleza bado chanzo cha moto huo hakijafahamika. Tayari
polisi wa zimamoto wamewasili eneo la tukio katika Mtaa wa Jamhuri na
Mosque. Pia, askari wa Jeshi la Polisi wamewasili kaktika eneo la tukio. Eneo la tukio baadhi ya mashuhuda sasa wanaokoa gari moja ambalo
lipo karibu na nyumba inayoteketea.
HUWEZI AMINI! Mtoto Afungwa kwa Kutumia Mnyororo Kwenye Kitanda cha Chuma kwa Muda wa Miaka Miwili!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.