Habari zilizotufikia chumba chetu cha habari na kuthibitishwa hivi punde zinaarifu kuwa:
Aliyekua spika wa tano bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia kuliongoza bunge la katiba, Mzee Samuel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo muda wa saa 10.00 alfajiri huko Munich nchini Ujerumani alipokua kwa ajili ya kupata matibabu ya saratani ya tezi dume.
Taarifa zaidi tutawaletea hivi punde hapa hapa Kandili Yetu.
Aliyekua spika wa tano bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania na pia kuliongoza bunge la katiba, Mzee Samuel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo muda wa saa 10.00 alfajiri huko Munich nchini Ujerumani alipokua kwa ajili ya kupata matibabu ya saratani ya tezi dume.
Taarifa zaidi tutawaletea hivi punde hapa hapa Kandili Yetu.
Ungana nasi kwa ku-LIKE page yetu usipitwe na habari muhimu katika muda muafaka.
Kandili Yetu Inawapa Pole Wote Wanaoguswa na Msiba Huu!
NEW UPDATES:
Hizi Ndio Salamu za Rambirambi za Rais Magufuli Kufuatia Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Samwel Sitta!
Kandili Yetu Inawapa Pole Wote Wanaoguswa na Msiba Huu!
NEW UPDATES:
Hizi Ndio Salamu za Rambirambi za Rais Magufuli Kufuatia Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Samwel Sitta!
Note: Only a member of this blog may post a comment.